State House Blog

Taarab Rasmi na Chakula Ikulu.

  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan akiagana na Rais wa Ranzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi baada ya kumaliza kwa hafla ya Chakula cha usiku na Taarab katika viwanja vya Ikulu Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakiagana na Makamo wa Rais wa Burundi Mhe.Prosper Bozombaza wakati wa kumalizika kwa Hafla ya Chakula cha usiku na Taarab katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana katika kusherehekea miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
  • Kikunchi cha Taarab cha Taifa cha Muzicul Club wakitumbiiza Chakula cha usiku na Taarab katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana katika kusherehekea miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
  • Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifuatana na Viongozi wengine wakienda kutunza wakati Vikundi vya Taarab vilipotumbiza jana Ikulu katika kusherehekea miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Baadhi ya Viongozi na waalikwa mbali mbali waliohudhuria katika hafla ya Chakula cha usiku na Taarab katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana katika kusherehekea miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
  • Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Majaliwa Kassim Majaliwa (katikati) Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdalla (wa pili kushoto) Makamo Mwenyekiti wa CCM Bara Mhe.Abdulrahman Kinana (kushoto) Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Doto Biteko na Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe.Othman Masoud Othman wakiwa katika hafla ya Taarab rasmi na chakula cha Usiku katika viwanja vya Ikulu jana katika kusherehekea miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Baadhi ya Viongozi na waalikwa mbali mbali waliohudhuria katika hafla ya Chakula cha usiku na Taarab katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana katika kusherehekea miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Rais wa Ranzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akiwa mgeni wa heshma katika Hafla ya Chakula cha usiku na Taarab katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana katika kusherehekea miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (kulia) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan na Makamo wa Rais wa Burundi Mhe.Prosper Bozombaza.

Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Zanzibar.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwapungia mkono maelfu ya wananchi katika kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika leo katika Uwanja wa New Amani Komplex Jijini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwapungia mkono maelfu ya wananchi katika kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika leo katika Uwanja wa New Amani Komplex Jijini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akikagua Gwaride la Heshma la Vikosi vya Ulinzi na Usalama katika kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan wakisimama wakati wimbo wa Taifa Ukipigwa katika kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika leo katika Uwanja wa New Amani Komplex Jijini Zanzibar, ambapo Viongozi mbali mbali wa Kimataifa walihudhuria.
  • Kikosi FFU cha Jeshi la Polisi wakitoa salamu ya Heshma kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika leo katika Uwanja wa New Amani Komplex Jijini Zanzibar
  • Kikosi cha Bendera cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakitoa salamu ya Heshma kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyiakiwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika leo katika Uwanja wa New Amani Komplex Jijini Zanzibar.
  • Viongozi mbali mbali wakisimama wakati wimbo wa Taifa Ukipigwa katika kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika leo katika Uwanja wa New Amani Komplex Jijini Zanzibar.mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi
  • Viongozi mbali mbali wakisimama wakati wimbo wa Taifa Ukipigwa katika kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika leo katika Uwanja wa New Amani Komplex Jijini Zanzibar.mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi
  • Vijana wa Chipukizi wakibeba Picha ya Rais wa Kwanza wa ZanzibAR mAREHEMU mZRR aBEID aMANI kARUME WAKATI WA kILELERais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akikagua Gwaride la Heshma la Vikosi vya Ulinzi na Usalama katika kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika leo katika Uwanja wa New Amani Komplex Jijini Zanzibar
  • Kikosi cha Magereza wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) kwa Gwaride la mwendo wa haraka katika sherehe za maadhimisho ya Kilele cha miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika leo katika Uwanja wa New Amani Komplex Jijini Zanzibar
  • Wazee wa Miaka 60 ya Mapinduzi wakiimba wimbo maalum na kurusha Njiwa katika sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar zilizofanyika leo katika Uwanja wa New Amani Komplex Jijini Zanzibar
  • Kikosi cha Bendera cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) kwa Gwaride la mwendo wa pole katika sherehe za maadhimisho ya Kilele cha miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika leo katika Uwanja wa New Amani Komplex Jijini Zanzibar
  • Kikosi cha Jeshi la Polisi Wananwake wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) kwa Gwaride la mwendo wa pole katika sherehe za maadhimisho ya Kilele cha miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika leo katika Uwanja wa New Amani Komplex Jijini Zanzibar
  • Kikundi cha Brass Band cha Chipukizi wakiongoza maandamano ya Wananchi na Taasisi mbali mbali katika kusherehekea maadhimisho ya Kilele cha miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika leo katika Uwanja wa New Amani Komplex Jijini Zanzibar
  • Wafanyakazi wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto wakipita mbe ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi wakati wa Maandamano ya Wananchi na Taasisi mbali mbali katika kusherehekea maadhimisho ya Kilele cha miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika leo katika Uwanja wa New Amani Komplex Jijini Zanzibar
  • Vijana wa Chipukizi wakibeba Picha za Marais Wastaafu wa Zanzibar wa Awamu zilizopita katika kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika leo katika Uwanja wa New Amani Komplex Jijini Zanzibar
  • Vijana wa Chipukizi wakibeba Picha ya Rais wa Kwanza wa Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume pamoja na Bendera katika kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika leo katika Uwanja wa New Amani Komplex Jijini Zanzibar

Rais wa Zanzibar Dkt.Hussein Ali Mwimyi ametunuku Nishani

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimtunuku Nishani ya Mapinduzi kwa Viongozi wenye sifa za Kipekee Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimtunuku Nishani ya Mapinduzi kwa Viongozi wenye sifa za Kipekee Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Majaliwa Kassim Majaliwa akisalimiana na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemedi Suleiman Abdulla katika hafla ya utolewaji wa nishani za Mapinduzi iliyofanyika leo Viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Viongozi wa Vikosi wa Vikosi vya Ulinzi wakiwa katika hafla ya utolewaji wa nishani za Mapinduzi katika Viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Viongozi mbali mbali Serikali ya Mapinduzi na Jamhuri ya Muungano wakiwa katika hafla ya utolewaji wa nishani za Mapinduzi iliyofanyika leo Viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimtunuku Nishani ya Utumishi wa muda mrefu na Utii kwa Idara Maalum za SMZ Lt.Col Khadija Ahmada katika hafla iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar kwenye shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akifuatana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan wakielekea katika Uwanja wa Ikulu kwenye hafla ya kutuku Nishani ya Mapinduzi Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan na Mke wa Rais wa Zanzibar na Mama Mariam Mwinyi wakijipatia Vinywaji baada ya hafla ya kutunuku Nishani mbali mbali za Mapinduzi kwa Viongozi katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Viongozi wa Vikosi vya Ulinzi waliohudhuria katika hafla ya kutunuku Nishani mbali mbali iliyofanyika leo viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi
  • Viongozi mbali mbali waliohudhuria katika hafla ya kutunuku Nishani mbali mbali iliyofanyika leo viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimtunuku Nishani ya Mapinduzi kwa Viongozi na Wananchi wenye Sifa Maalum Mhe.Balozi Seif Ali Iddi Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mstaafu katika hafla iliyofanyika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimtunuku Nishani ya Mapinduzi Utumishi Uliotukuka Mhe.Dkt. Abdulhamid Yahaya Mzee katika hafla iliyofanyika leo viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Viongozi mbali mbali waliohudhuria katika katika hafla ya kutunuku Nishani mbali mbali iliyofanyika leo viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimtunuku Nishani ya Mapinduzi Utumishi Uliotukuka Prof.Saleh Idris Muhammed katika hafla iliyofanyika leo viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimtunuku Nishani ya Mapinduzi ya Utmishi wa muda Mrefu na Utii kwa Idara Maalum za SMZ KO743MCPO 1 Mohamed Suleiman Haji(Geji) katika hafla iliyofanyika leo viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimtunuku Nishani ya Mapinduzi ya Utmishi wa muda Mrefu na Utii kwa Idara Maalum za SMZ Lt.Col (Mst) Maryam Kurwa Nassor katika hafla iliyofanyika leo viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar

Ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi (katikati) akifuatana na Viongozi wakati alipokuwa akitembelea Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi (kushoto) pamoja na Viongozi wengine wakipata maelezo kutoka Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko Mhe.Omar Said Shaaban katika hafla ya ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar, Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Kanda wa kampuni ya Simu ya TIGO Ndg,Aziz Said Ali wakati alipotembelea mabanda ya Maonesho katika hafla ya ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (kulia) Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko Mhe.Omar Said Shaaban
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi (katikati) wakiwa pungia mikono wananchi waliofika katika hafla ya ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
  • Baadhi ya wanancho waliohudhuria katika sherehe za Ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi.
  • Baadhi ya wanancho waliohudhuria katika sherehe za Ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi.
  • Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (wa pili kushoto) akipokea zawadi maalum kutoka kwa Meneja Msaidizi wa Fedha na Utawala Ndg.Devotha Herman,wakati alipojumuka katika sherehe za ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (kushoto) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akishudia (kulia) Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko Mhe.Omar Said Shaaban
  • Baadhi ya wananchi waliohudhuria katika sherehe za Ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa pili kushoto) akipokea zawadi maalum kutoka kwa Meneja Msaidizi wa Fedha na Utawala Ndg.Devotha Herman,mara baada ya kufungua Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (kushoto) Mke wa Rais Mama Mariam Mwinyi (kulia) Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko Mhe.Omar Said Shaaban
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa Kanda wa kampuni ya Simu ya TIGO Ndg,Aziz Said Ali wakati alipotembelea mabanda ya Maonesho katika hafla ya ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (katikati) Mke wa Rais Mama Mariam Mwinyi
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi (kushoto) wakipata maelezo kutoka kwa Bw.Masoud Ali wa Azam wakati alipotembelea mabanda ya Maonesho katika hafla ya ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (katikati) Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko Mhe.Omar Said Shaaban na Katibu Mkuu wa Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko Ndg.Ali Khamis.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi (katikati) wakipata maelezo kutoka kwa Mkurughenzi Mkuu wa Shrika la Utangazaji Ndg.Ramadhani Bukini (kushoto) alipotembelea mabanda ya Maonesho katika hafla ya ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara, Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Unguja.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akisalimiana na Viongozi wakati alipowasili katika ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akifungua pazia kuashiria ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar, Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar

Utiaji saini Makubaliano Ujenzi wa Bandari ya Abiria Mpiga Duri.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akishuhudia Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Ndg.Khadija Khamis Rajab kwa upande wa Serikali ya Mapinduzi na Mwakilishi Mwenza wa Kampuni ya ZF Devco Ndg.Matthew Vander Borgh ya ujenzi wa Bandari mpya ya Abiria Mpiga Duri Mkoa wa Mjini.
  • Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Ndg.Khadija Khamis Rajab kwa upande wa Serikali ya Mapinduzi akibadilishana hati za saini ya makubaliano Mwakilishi Mwenza wa Kampuni ya ZF Devco Ndg. Matthew Vander Borgh ya ujenzi wa Bandari mpya ya Abiria Mpiga Duri Mkoa wa Mjini Magharibi itakayojengwa na kampuni ya ZF Devco ya nchini Uholanzi
  • Baadhi ya Viongozi waliohudhuria saini ya makubaliano ya ujenzi wa Bandari mpya ya Abiria Mpiga Duri Mkoa wa Mjini Magharibi itakayojengwa na kampuni ya ZF Devco ya nchini Uholanzi.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi,akitoa hutuba yake katika hafla ya utiaji saini Makubaliano ya ujenzi wa Bandari mpya ya Abiria Mpiga Duri Mkoa wa Mjini Magharibi itakayojengwa na kampuni ya ZF Devco ya nchini Uholanzi katika Maadhimisho ya shamra shamra za Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
  • Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania Mhe.Welbe de Boer alipokuwa akizungumza na Viongozi waliohudhuria katika uwekaji saini makubaliano ya Ujenzi wa Bandari ya Abiria Mpiga Duri itakayojegwa na Kampuni ya Zf.Devco ya Uholanzi hafla iliyofanyika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi,akiwa mgeni rasmi katika Maadhimisho ya shamra shamra za Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.