Uteuzi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein kwa kutumia uwezo aliopewa chini ya Kifungu 119 cha Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984 amefanya uteuzi wa…

Read More

UTEUZI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa viongozi katika taasisi mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kama ifuatavyo:-

Read More

Dk.Shein amekutana na viongozi wa vyama mbali mbali vya siasa

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amekutana na viongozi wa vyama mbali mbali vya siasa kwa ajili ya kushauriana namna bora zaidi ya kuwapata wajumbe…

Read More

Wananchi wa Mkanyageni wameridhika na Uongozi wa Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein.

WANANCHI wa Mkanyageni, Mkoa wa Kusini Pemba wameeleza kuridhika kwao na uongozi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein kutokana na kuwajali wananchi…

Read More

Dk.Shein amefutari pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Pemba

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein amefutari pamoja na wananchi wa Mkoa wa Kusini Pemba na kusisitiza umuhimu wa kuendeleza umoja na mshikamano miongoni…

Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akiwa katika picha na Uongozi wa Benki ya NBC mara baada ya Futari waliyoiandaa katika  Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.

DK. SHEIN AMEHUDHURIA FUTARI YA NBC KATIKA HOTELI YA ZANZIBAR BEACH RESORT

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa pongezi kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na wananchi wake kwa imani yao wanayotoa kwa taasisi za fedha na hasa benki hiyo ya (NBC) hatua ambayo…

Read More
Rais wa Zanzibar na  Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein pamoja na Viongozi mbali mbali na Waislamu wakichukua chakula cha Futari iliyoandaliwa na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) jana katika Hotel Verde iliyopo Mtoni Wilaya ya Mji

Dk. Shein ameongoza Futari Iliyoanzdaliwa na PBZ

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein ameongoza futari maalum iliyoandaliwa na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) na kupongeza juhudi zinazoendelea kuchukuliwa…

Read More