News and Events

Dkt Hussein Ali Mwinyi amesema Upo umuhimu Mkubwa kwa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuimarisha Uhusiano katika nyanja ya Diplomasia ya Uchumi na Uwekezaji

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe, Dkt Hussein Ali Mwinyi amesema Upo umuhimu Mkubwa kwa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuimarisha Uhusiano katika nyanja ya Diplomasia…

Read More

Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inaendelea kutekeleza mikakati na juhudi maalum za kuongeza thamani ya zao la mwani

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inaendelea kutekeleza mikakati na juhudi maalum za kuongeza thamani ya zao la mwani, kwa…

Read More

Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameihimiza Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kuendelea kuwekeza katika teknolojia, usalama wa mifumo ya kifedha

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameihimiza Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kuendelea kuwekeza katika teknolojia, usalama wa mifumo ya kifedha,…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi amesema Taasisi za Kifedha za ndani ziimarishe ushirikiano na Serikali katika Miradi ya Maendeleo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema bado yapo maeneo mengi ya ushirikiano ambayo taasisi za kifedha za ndani zinaweza kushirikiana na…

Read More