News and Events

Mama Mariam Mwinyi ameahidi kuendelea kuunga mkono juhudi za kuboresha Afya ya Mama na Mtoto.

Mke wa Rais wa Zanzibar , Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF), Mhe. Mama Mariam Mwinyi, amekutana na viongozi wa Jumuiya ya Wauguzi…

Read More

Mhe. Dkt. Mwinyi amewahimiza viongozi na watendaji wakuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutumia mbinu za kisasa na kuimarisha mawasiliano.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza viongozi na watendaji wakuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi ameitaka OACPS kugeuza Maazimio kuwa Programu zinazowanufaisha Wananchi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishauri Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS) kuhakikisha maazimio na matamko yanayopitishwa…

Read More