News and Events

Dkt. Mwinyi Atangaza ongezeko la Mshahara kima cha Chini ni Sh. 500,000

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza ongezeko la kima cha chini cha mshahara kutoka shilingi 300,000 hadi shilingi 500,000 kwa mwezi.…

Read More

Dkt. Mwinyi amepokea Ripoti ya CAG Zanzibar ya mwaka 2024 - 2025.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar (CAG) ya mwaka 2024–2025. Ripoti…

Read More

Rais Dkt.Mwinyi amesisitiza SMZ kuimarisha huduma na Elimu kuhusu Usonji

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa Usonji kwa watoto ni changamoto kubwa ya kijamii inayohitaji ushirikiano wa karibu kati ya Serikali…

Read More