News and Events

Rais Dkt. Mwinyi akutana na Mkurugenzi Mtendaji wa UNEP

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEP), Bi. Inger Andersen, pamoja…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi Awasili jijini Mombasa, Kenya

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Moi, jijini Mombasa, Kenya, leo tarehe 17 Juni 2026, kwa…

Read More

Alhaj Dkt. Mwinyi ametoa wito kwa wananchi wa Tanzania kuufanya Mwaka Mpya wa Kiislamu 1448 Hijria kuwa mwaka wa maridhiano

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito kwa wananchi wa Tanzania kuufanya Mwaka Mpya wa Kiislamu 1448 Hijria kuwa mwaka wa maridhiano,…

Read More

Rais Dkt.Mwinyi amesema SMZ itaendelea kushirikiana na wadau kuimarisha sekta ya Afya nchini.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kushirikiana na taasisi na wadau mbalimbali wa sekta ya afya ili kuimarisha utoaji…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi amesema SMZ kuendelea kuunga mkono juhudi za Chuo Kikuu cha Tanzinia.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuunga mkono juhudi za Chuo Kikuu Huria cha Tanzania…

Read More