News and Events

Rais Dkt amewakaribisha wawekezaji na wafanyabiashara kutoka nchi za Kiarabu kuwekeza Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewakaribisha wawekezaji na wafanyabiashara kutoka nchi za Kiarabu kuwekeza Zanzibar, akibainisha kuwa Zanzibar…

Read More

Dkt. Mwinyi, amesema Zanzibar imeingia katika hatua mpya ya mageuzi ya kiuchumi yanayolenga kuimarisha ushindani katika soko la kimataifa kwa kupanua fursa za uwekezaji

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar imeingia katika hatua mpya ya mageuzi ya kiuchumi yanayolenga kuimarisha ushindani katika…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi amekutana na Mwanazuoni na Mhamasishaji wa Dhana ya Utalii halali Duniani.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na mwanazuoni na mhamasishaji wa dhana ya Utalii Halali Duniani, Bw. Ismail Bullock kutoka Dubai.…

Read More

Alhaji, Dkt, Hussein Mwinyi amejumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu Kisiwani Pemba katika Sala ya Eid El Hajj.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaji, Dkt,Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu Kisiwani Pemba katika Sala ya Eid El Hajj. Sala hiyo imesaliwa Leo…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi amesema SMZ inaendelea kuchukua hatua kukabiliana na Gharama za Maisha.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali zote mbili za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) na Serikali ya Jamhuri ya Muungano…

Read More

Dkt, Hussein Ali Mwinyi amewasili Pemba leo Tarehe 26 Mei 2026 kwa ajili kujumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Sala ya Eid El Hajj pamoja na Baraza la Idd linalotarajiwa kufanyika Kesho.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amewasili Pemba leo Tarehe 26 Mei 2026 kwa ajili kujumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Sala ya Eid El Hajj…

Read More