Habari

Changamkieni fursa za Sekta ya Utalii.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amewataka wananchi kuchangamkia fursa mbalimbali za sekta ya utalii ikiwemo ajira, kuuza mazao wanayozalishwa nchini…

Soma Zaidi

Rais Dk.Mwinyi amekutana na Uongozi wa CRDB.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela na ujumbe wake Ikulu Zanzibar tarehe: 20…

Soma Zaidi

Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amemhakikishia Balozi wa Uingereza nchini Tanzania kuwa Serikali ya Zanzibar iko tayari kushirikiana na Nutri-Sun Limited kukamilisha mradi wa Kiwanda cha Mwani

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amemhakikishia Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. David Conar na ujumbe wake kuwa Serikali ya Zanzibar…

Soma Zaidi