News and Events

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa dhamira ya Serikali ya Awamu ya Nane ni kuona kwamba kiwango cha ufaulu wa wanafunzi wa Skuli za Zanzibar unazidi kuimarika kila mwaka katika mitihani yao ya Taifa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa dhamira ya Serikali ya Awamu ya Nane ni kuona kwamba kiwango cha ufaulu wa wanafunzi wa Skuli za Zanzibar…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa mradi wa kuimarisha Elimu ya Sekondari wa kuwajengea uwezo wa masomo ya Sayansi, Hisabati na Kiingereza walimu unakwenda sambamba na mikakati ya Serikali

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa mradi wa kuimarisha Elimu ya Sekondari wa kuwajengea uwezo wa masomo ya Sayansi, Hisabati na Kiingereza…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amelipongeza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kwa kuendelea kusimamia ulinzi na usalama hapa nchini.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amelipongeza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kwa kuendelea kusimamia ulinzi na usalama hapa nchini.Rais…

Read More

Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa Serikali itatoa tamko kuifanya siku ya mwaka mpya wa kiislamu kuwa ya mapumziko

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa Serikali itatoa tamko kuifanya siku ya mwaka mpya wa kiislamu kuwa ya mapumziko.Alhaj D. Mwinyi…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amekamilisha ziara yake katika Wilaya zote za Unguja na Pemba na kueleza jinsi alivyoridhika na hatua iliyofikiwa katika miradi mbali mbali ya maendeleo aliyoitembelea.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amekamilisha ziara yake katika Wilaya zote za Unguja na Pemba na kueleza jinsi alivyoridhika na hatua iliyofikiwa…

Read More