News and Events

Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kazi ya Misikiti sio kufanywa ibada za sala pekee, bali ni sehemu bora ya kutoa elimu kwa jamii na kituo kizuri cha kuwafunza vijana mambo ya kheri

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kazi ya Misikiti sio kufanywa ibada za sala pekee, bali ni sehemu bora ya kutoa elimu kwa jamii na…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema huduma za uhamiaji kwa Mkoa wa Mjini Magharibi zinahitaji kuwekewa mazingatio maalumu ya kuimarishwa wake

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema huduma za uhamiaji kwa Mkoa wa Mjini Magharibi zinahitaji kuwekewa mazingatio maalumu ya kuimarishwa wake.Rais…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameiagiza Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kuendeleza kuajiri Walimu ili kuondosha changamoto ya walimu Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amewaagiza Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kuendeleza fursa za kuajiri walimu wengi zaidi wa fani zote ili kuondosha…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa wito kwa nchi wanachama za Jumuia ya Maendeleo Kusini mwa bara la Afrika, SADC, kuona haja za kuziimarisha taasisi zao zinazosimamia utawala bora

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa wito kwa nchi wanachama za Jumuia ya Maendeleo Kusini mwa bara la Afrika, SADC, kuona haja za kuziimarisha…

Read More