News and Events

Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameinasihi jamii kuongeza upendo na ushirikiano hasa kwenye makundi maalum na kuwasaidi kwa kila hali.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameinasihi jamii kuongeza upendo na ushirikiano hasa kwenye makundi maalum na kuwasaidi kwa kila hali.Al hajj Dk. Mwinyi, alitoa… Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar inahitaji ufumbuzi wa haraka kuongeza huduma za jamii vijijini

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar inahitaji ufumbuzi wa haraka kuongeza huduma za jamii vijijini.Dk. Mwinyi aliyasema hayo kwenye Mkutano wa Jukwaa la… Read More

Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mama Mariam Mwinyi ametoa rai kwa watafiti kulifanyia utafiti zao la mwani ili kulitambulisha zaidi duniani

MSARIFU na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF), Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mama Mariam Mwinyi ametoa rai kwa watafiti kulifanyia utafiti zao… Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania kwenye maeneo yao ya kazi kuangalia zaidi fursa za Uchumi na Maendeleo kwa lengo la kuifanyia kazi kwa vitendo Sera ya mambo ya Nje y

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania kwenye maeneo yao ya kazi kuangalia zaidi fursa za Uchumi na Maendeleo kwa lengo la kuifanyia… Read More