Rais wa Zanzibar ambae ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amepiga kura Shina namba moja Tawi la Kilimani Unguja.
22 Apr 2022
156
Mke wa Rais Wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Mama Mariam Mwinyi ametoa Sadaka ya Futari kwa Wazee,Wajane na wenye hali ngumu Tumbatu.
21 Apr 2022
248
Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na msaidizi wa Waziri Mkuu katika masuala ya Biashara Bw. Lord Wanley Ikulu Zanzibar.
20 Apr 2022
156
Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na kikosi kazi cha Rais Samia Ikulu Zanzibar.
20 Apr 2022
214
Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amelifungua Kongamano la Pili la Madaktari na wahudumu wa Afya lililofanyika leo ukumbi wa chuo cha Utalii Maruhubi Zanzibar.