Mkutano wa Mwaka wa Mapitio ya Program ya Huduma za Jamii kwa Wazee (Afford)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akifuatana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali pia Kaimu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mhe.Simai Mohamed Said wakati alipowasili katika ukumbi wa mikutano Hoteli ya Verde,Mtoni Zanzibar katika Mkutano wa mwaka wa mapitio ya wadau ya Programu ya uwajibikaji na utekelezaji wa huduma za kinga jamii kwa Wazee (AFFORD)
BAADHI ya washiriki wa Mkutano wa mwaka wa mapitio ya wadau ya Programu ya uwajibikaji na utekelezaji wa huduma za kinga jamii kwa Wazee (AFFORD) wakifuatili kwa makini uwasilishwaji wa mifumo ya Ulinzi wa Jamii barani Afrika uliotolewa katika mkutano huo uliofanyika leo Hoteli ya Verde,Mtoni Zanzibar mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani).
Ujumbe wa pongezi wa Ushindi katika Uchaguzi Mkuu Uliopita Mwaka jana kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) uliowasilishwa na Mzee Makame Mohamed Khalfan katika Mkutano wa mwaka wa mapitio ya wadau ya Programu ya uwajibikaji na utekelezaji wa huduma za kinga jamii kwa Wazee (AFFORD) uliofanyika leo katika ukumbi wa mikutano Hoteli ya Verde,Mtoni Zanzibar
BAADHI ya washiriki wa Mkutano wa mwaka wa mapitio ya wadau ya Programu ya uwajibikaji na utekelezaji wa huduma za kinga jamii kwa Wazee (AFFORD) wakifuatili kwa makini uwasilishwaji wa mifumo ya Ulinzi wa Jamii barani Afrika uliotolewa katika mkutano huo uliofanyika leo Hoteli ya Verde,Mtoni Zanzibar mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani).
NAIBU Balozi wa Ireland nchini Tanzania Bibi. Chloe Horne alipokuwa akitoa salamu zake katika Mkutano wa mwaka wa mapitio ya wadau ya Programu ya uwajibikaji na utekelezaji wa huduma za kinga jamii kwa Wazee (AFFORD) uliofanyika leo katika ukumbi wa mikutano Hoteli ya Verde,Mtoni Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi(kushoto ) alipokuwa akitoa hutuba yake katika Mkutano wa mwaka wa mapitio ya wadau ya Programu ya uwajibikaji na utekelezaji wa huduma za kinga jamii kwa Wazee (AFFORD) uliofanyika leo katika ukumbi wa mikutano Hoteli ya Verde,Mtoni Zanzibar.
Baadhi ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiwa katika Mkutano wa mwaka wa mapitio ya wadau ya Programu ya uwajibikaji na utekelezaji wa huduma za kinga jamii kwa Wazee (AFFORD) uliofanyika leo katika ukumbi wa mikutano Hoteli ya Verde,Mtoni Zanzibar,mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi(hayupo pichani)
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali pia Kaimu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mhe.Simai Mohamed Said wakati alipokuwa akimkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi kuufungua Mkutano wa mwaka wa mapitio ya wadau ya Programu ya uwajibikaji na utekelezaji wa huduma za kinga jamii kwa Wazee (AFFORD) uliofanyika leo katika ukumbi wa mikutano Hoteli ya Verde,Mtoni Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi(kushoto ) alipokuwa akitoa hutuba yake katika Mkutano wa mwaka wa mapitio ya wadau ya Programu ya uwajibikaji na utekelezaji wa huduma za kinga jamii kwa Wazee (AFFORD) uliofanyika leo katika ukumbi wa mikutano Hoteli ya Verde,Mtoni Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi(kushoto ) alipokuwa akitoa hutuba yake katika Mkutano wa mwaka wa mapitio ya wadau ya Programu ya uwajibikaji na utekelezaji wa huduma za kinga jamii kwa Wazee (AFFORD) uliofanyika leo katika ukumbi wa mikutano Hoteli ya Verde,Mtoni Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi(kushoto ) alipokuwa akitoa hutuba yake katika Mkutano wa mwaka wa mapitio ya wadau ya Programu ya uwajibikaji na utekelezaji wa huduma za kinga jamii kwa Wazee (AFFORD) uliofanyika leo katika ukumbi wa mikutano Hoteli ya Verde,Mtoni Zanzibar(katikati) Naibu Balozi wa Ireland Nchini Tanzania Bibi.Cloe Horne na Mkurugenzi wa Shirika la Help AgeInternational Tanzania Nd,Smart Daniel(kulia)
Rais wa Zanzibar Dk Mwinyi ametembelea soko la Kimataifa la Dagaa Geita
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dk. Hussein Ali Mwinyi akitembelea Soko la Kimataifa la Dagaa Kasenda akiwa katika ziara yake Mkoani Geita Wilaya ya Chato na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Uvuvi na Mifugo Mhe. Mashimba Ndaki na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad.
WANANCHI wa Geita wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akiwahutubia wakati wa ziara yake kutembelea Soko la Kimataifa la Dagaa Kasenda Geita
WANANCHI wa Mkoa wa Geita wakishangilia wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiwahutubia katika viwanja vya Soko la Kmataifa la Dagaa Kasenda Mkoani Geita
WANANCHI wa Mkoa wa Geita wakishangilia wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiwahutubia katika viwanja vya Soko la Kmataifa la Dagaa Kasenda Mkoani Geita
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwahutubia Wananchi wa Geita katiuka viwanja vya Soko la Kimataifa la Dagaa Kasenda Mkoani Geita Wilaya ya Chato, wakati wa ziara yeke kutembelea soko hilo na kujionea biashara ya Dagaa katika Soko hilo, (kulia kwa Rais) Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Machimba Ndaki akizungumza na kutowa maelezo ya Soko la Kimataifa la Dagaa Kasenda wakati wa ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi, kutembelea soko hilo akiwa Mkoani Geita
WANANCHI wa Mkoa wa Geita wakishangilia wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiwahutubia katika viwanja vya Soko la Kmataifa la Dagaa Kasenda Mkoani Geita
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwahutubia Wananchi wa Geita katiuka viwanja vya Soko la Kimataifa la Dagaa Kasenda Mkoani Geita Wilaya ya Chato, wakati wa ziara yeke kutembelea soko hilo na kujionea biashara ya Dagaa katika Soko hilo, (kulia kwa Rais) Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhi Kombe kwa Mabingwa wa Mapinduzi Cup Yanga Afrika baada ya kuifunga Simba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduziu Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Kombe la Ubingwa wa Michuano ya Mapinduzi Cup Nahodha wa Timu ya Yanga Haruna Nyonzima, baada kuifunga Timu ya Simba katika mchezo wa Fainali uliofanyika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduziu Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Kombe la Ubingwa wa Michuano ya Mapinduzi Cup Nahodha wa Timu ya Yanga Haruna Nyonzima, baada kuifunga Timu ya Simba katika mchezo wa Fainali uliofanyika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar
Rais Dk. Hussein Ali Mwinyi ametembelea maonyesho
Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi Aamezungumza na Mwakilishi wa Unesco Tanzania
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mwakilishi Mkaazi wa UNESCO Nchini Tanzania.Bw.Tirso Dos Santos alipowasili katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika leo 13/1/2021 na (kulia) Ofisa Utamaduni UNESCO Tanzania Bi. Nancy Lazaro Mwaisaka
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni wake Mwakilishi Mkaazi wa UNESCO Nchini Tanzania Bw, Tirso Dos Santos. (kulia kwa Rais) baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe.Lela Mohammed Mussa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kingozi Mhendisi Zena Ahmed Said na (kulia) Ofisa Utamaduni wa UNESCO Tanzania Bi. Nancy Lazaro Mwaisaka
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mwakilishi Mkaazi wa UNESCO Nchini Tanzania. Bw.Tirso Dos Santos (kulia kwa Rais) wakiwa katika ukumbi wa Ikulu wakati wa mazungumzo yao yaliofanyika 13/1/2021 na (kulia) Ofisa wa Utamaduni UNESCO Tanzania Bi. Nancy Lazaro Mwaisaka.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mwakilishi Mkaazi wa UNESCO Nchini Tanzania.Bw.Tirso Dos Santos alipowasili katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika leo 13/1/2021 na (kulia) Ofisa Utamaduni UNESCO Tanzania Bi. Nancy Lazaro Mwaisaka.