State House Blog

Kilele cha Sherehe za 57 Mapinduzi Zanzibar.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akiwapungia mkono Wananchi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi waliopita katika viwavja vya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar leo katika Sherehe za maadhimisho ya Kilele cha miaka 57 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Wananchi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Pemba wakipita mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika kilele cha maadhimisho ya kutimia miaka 57 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,sherehe zilizofanyika leo viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akifuatana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa mara alipowasili viwanja vya Mnazi Mmoja katika kilele cha maadhimisho ya kutimia miaka 57 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanziba, sherehe zilizofanyika
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akiwapungia mkono Wananchi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi waliopita katika viwavja vya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar leo katika Sherehe za maadhimisho ya Kilele cha miaka 57 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
  • Wananchi wafanyabishara wadogo wadogo wakiwa na bango lao kwa kumpomngeza Rais,Dk.Hussein Ali Mwinyi wakati walipopita katika maandamano ya kusherehekea kilele cha maadhimisho ya kutimia miaka 57 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar sherehe zilizofanyika leo viwanja vya Mnzi Mmoja Jijini Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akiwapungia mkono Wananchi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi waliopita katika viwavja vya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar leo katika Sherehe za maadhimisho ya Kilele cha miaka 57 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Askari wa kikosi cha Polisi wakipita kwa mwendo wa Route March wakipita mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika kusherehekea kilele cha maadhimisho ya kutimia miaka 57 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar sherehe zilizofanyika leo viwanja vya Mnzi Mmoja Jijini Zanzibar.
  • Askari wa kikosi cha Polisi wa usalama barabarani wakipita kwa maonesho ya Amsha Amsha ya Mapinduzi mwendo wa Route March wakipita mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika kusherehekea kilele cha maadhimisho ya kutimia miaka 57 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar sherehe zilizofanyika leo viwanja vya Mnzi Mmoja Jijini Zanzibar
  • Maonesho ya Amsha Amsha ya Mapinduzi mwendo wa Route March Gari za Vikosi vya Uluinzi wakipita mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika kusherehekea kilele cha maadhimisho ya kutimia miaka 57 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar sherehe zilizofanyika leo viwanja vya Mnzi Mmoja Jijini Zanzibar
  • Maonesho ya Amsha Amsha ya Mapinduzi mwendo wa Route March Gari za Vikosi vya Uluinzi wakipita mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika kusherehekea kilele cha maadhimisho ya kutimia miaka 57 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar sherehe zilizofanyika leo viwanja vya Mnzi Mmoja Jijini Zanzibar
  • Maonesho ya Amsha Amsha ya Mapinduzi mwendo wa Route March Gari za Vikosi vya Uluinzi wakipita mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika kusherehekea kilele cha maadhimisho ya kutimia miaka 57 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar sherehe zilizofanyika leo viwanja vya Mnzi Mmoja Jijini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akisalimiana na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdalla mara alipowasili viwanja vya Mnazi Mmoja katika kilele cha maadhimisho ya kutimia miaka 57 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,sherehe zilizofanyika leo (wengine kutoka kulia) Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Amani Abeid Karume na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Ali Hassan Mwinyi
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akisalimiana na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Ali Hassan Mwinyi (katikati) Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdalla (wa pili kushoto) na Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Amani Abeid Karume (kulia) mara alipowasili viwanja vya Mnazi Mmoja leo katika kilele cha maadhimisho ya kutimia miaka 57 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi (katikati) wakipata maelezo kutoka kwa Meneja Biashara Benki ya NBC Ndg,Obedy Ngavatula (kushoto) wakati alipotembelea mabanda ya maonesho ya kazi mbali mbali katika shamra shamra Uzinduzi wa Tamasha la Kizimkazi 2023 lililozinduliwa leo katika viwanja vya Kashangae Paje Wilaya ya Kuzini Unguja kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi (katikati)wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Foundation Bi.Tully Esther Mwambapa (kushoto) akitoa maelezo wakati alipotembelea mabanda ya maonesho ya kazi mbali mbali katika shamra shamra Uzinduzi wa Tamasha la Kizimkazi 2023 lililozinduliwa leo katika viwanja vya Kashangae Paje Wilaya ya Kuzini Unguja kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan
  • Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) alipokuwa akitoa hutuba yake fupi katika kilele cha maadhimisho ya kutimia miaka 57 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar sherehe zilizofanyika leo viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akitoa hutuba yake fupi kwa Wananchi wa Zanzibar katika Sherehe za kilele cha maadhimisho ya kutimia miaka 57 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar zilizofanyika leo viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar

Dk.Hussein Mwinyi amezungumza na Askofu Mkuu Wa Kanisa La Tanzania Assemblies Of God

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God Dr.Barnanas Weston Mtokambali alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kutowa pongezi zake kwa Rais na (kulia kwa Askofu) Rev. Dikson Kaganga, Askofu wa Jimbo la Zanzibar, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 11/12/2020
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Askofu Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God Dr.Barnanas Weston Mtokambali (kulia kwa Rais) akiwa na Askofu wa Jimbo la Zanzibar Rev.Dikson D.Kaganga, walipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Askofu Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God. Dr.Barnanas Weston Mtokambali, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kumpongeza hafla hiyo imefanyika leo 11/12/2020 katika ukumbi wa Ikulu

Rais wa Zanzibar Alhajj Dk.Hussein Mwinyi amejumuika na waumini wa Dini ya Kiislam katika Sala.

  • WAUMINI wa Dini ya Kiislam wakiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Sakleh Omar Kabi iliofanyika katika Masjid Jibri Mkunazini Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisoma na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (kulia kwa Rais) baada ya kumaliza Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Jibri Mkunazini Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Waumini wa Dini wakati akiondoka baada ya kumaliza kusali Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Jibri Mkunazini Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waumini wa Dini ya Kiislam baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Jibri Mkunazini Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisoma na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (kulia kwa Rais) baada ya kumaliza Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Jibri Mkunazini Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waumini wa Dini ya Kiislam baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Jibri Mkunazini Jijini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waumini wa dini ya Kiislamu (hawapo pichani) katika Masjid Jibril Mkunazini Jijini Zanzibar leo mara baada ya Swala ya Ijumaa,mbapo pia aliwataka wananchi kundosha tofauti za kiitikadi ili kujiletea maendeleo ya Nchi yetu kwa ujumla
  • Waumini wa Dini ya Kiislamu na wananchi wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupom pichani) alipozungumza na Waumini hao leo mara baada ya Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa Masjid Jibril Mkunazini Jijini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waumini wa dini ya Kiislamu alipojumuika nao leo katika Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa Masjid Jibril Mkunazini Jijini Zanzibar

Dua ya kumuombea Rais na Nchi.

  • Waumini wa Dini ya Kiislamu na Wananchi wakiitikia Dua maalum ya kuiombea Nchi amani na utulivu pamoja na kumuombea Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika Masjid Mushawal Mwembeshauri Jijini Zanzibar.
  • Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akiomba dua wakati Kisomo maaalum cha Kuiombea dua Nchi pamoja na Kumuoimbea Rais Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati), katika Masjid Mushawal Mwembeshauri Jijini Zanzibar ambapo Viongozi mbali mbali walishiuriki katika Dua hiyo iliyofanyika
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akiitikia dua maalum ya kuiombea Nchi amani na utulivu pamoja na kumuombea Rais iliyoombwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (wa pili kulia) dua iliyofanyika leo katika Masjid Mushawal Mwembeshauri Jijini Zanzibar (kushoto) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Katiba,Sheria ,Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman
  • Waumini wa Dini ya Kiislamu na Wananchi wakiitikia Dua maalum ya kuiombea Nchi amani na utulivu pamoja na kumuombea Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika Masjid Mushawal Mwembeshauri Jijini Zanzibar
  • Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi akisoma dua maalum ya kuiombea Nchi amani na utulivu pamoja na kumuombea dua Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) iliyofanyika leo katika Masjid Mushawal Mwembeshauri Jijini Zanzibar (wa pili kulia) Makamo wa Pili wa Rais Mstaafu Balozi Seif Ali Iddi
  • Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla (wa pili kulia) Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk.Amani Abeid Karume (kulia) Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe.Zubeir Ali Maulid (kushoto) Jaji Mkuu wa Zanzibar Sheikh Omar Othman Makungu wakiitikia dua maalum ya kuiombea Nchi amani na utulivu pamoja na kumuombea Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika Masjid Mushawal Mwembeshauri Jijini Zanzibar.
  • Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akiomba dua wakati Kisomo maaalum cha Kuiombea dua Nchi pamoja na Kumuoimbea Rais Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati), katika Masjid Mushawal Mwembeshauri Jijini Zanzibar ambapo Viongozi mbali mbali walishiuriki katika Dua hiyo iliyofanyika
  • Baadhi ya Kinamama waliohudhuria katika Dua maalum ya kumuombea Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na kuiombea nchi yetu kuwa na Amani na utulivu iliyofanyika leo katika msikiti wa Masjid Mushawal Mwembeshauri Jijini Zanzibar
  • Baadhi ya Kinamama waliohudhuria katika Dua maalum ya kumuombea Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na kuiombea nchi yetu kuwa na Amani na utulivu iliyofanyika leo katika msikiti wa Masjid Mushawal Mwembeshauri Jijini Zanzibar

Mhe:Dk.Hussein Ali Mwinyi amezungumza na Uongozi wa NMB

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa na Kadi yake ya ATM baada ya kukabidhiwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna , baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika leo 10/12/2020 katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Bi.Ruth Zaipuna alipowasili katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar kwa ajili ya mazungumzo na kumpongeza akiwa na Ujumbe wake (kulia) mazungumzo hayo yamefanyika
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kumpongeza akiwa na ujumbe wa Maafisa Wakuu wa Vitengo vya Benki ya NMB, hafla hiyo imefanyika
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiagana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Bi.Ruth Zaipuna na Ujumbe wake wa Maafisa wa Vitengo mbalimbali vya Benki ya NMB, baada ya kumalizika mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Kadi yake ya ATM na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kumpongeza akiwa na ujumbe wa Maafisa Wakuu wa Vitengo vya Benki ya NMB, hafla hiyo imefanyika
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna alipofika ikulu na Ujumbe wake (kulia) Afisa Mkuu Wateja Binafsi na Wafanyabiashara Ndg. Fillbert Mponzi na Afisa Mkuu Wateja Binafsi na Biashara wa NMB Ndg. Alfred Shao, mazungumzo hayo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar