Toggle navigation
Leave this field blank
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
Home
President's Office
Overview
Vision & Mission
President
Past Presidents
Administration
Revolutionary Council
Office of the President
Media
News and Events
Speeches and Statements
Press Releases
Photos
Videos
Videos 2
Publications
Speeches
Action Plans
Publications
Reports
Budgets
Blog
Contact Us
Ikulu
State House Zanzibar
State House Zanzibar
Media
News and Events
Mgombea wa kiti cha Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi, ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiendesha Bajaji kuashiria kuwaunga mkono wajasiriamali wanaoendesha shughuli zao kupitia ajira hiyo baada ya kuwatembelea katika Shehia ya Mndo, Wilaya ya Magharibi A, Mkoa wa Mjini Magharibi.
Media
News and Events
Mgombea wa kiti cha Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi, ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akimsikiliza Mjasiriamali wanaoendesha boda bodawakati alipoyatembelea makundi hayo pamoja na wakulima wa mazao ya viungo katika Shehia ya Mndo, Wilaya ya Magharibi A, Mkoa wa Mjini Magharibi.
Media
News and Events
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwasili kwa kishindo katika Uzinduzi wa Kampeni za CCM Zanzibar 2025, hafla iliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Mkoa wa Mjini Magharibi huku maelfu ya wananchi wakijitokeza kumpokea kwa shangwe.
Media
News and Events
Mgombea wa kiti cha Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Ilani ya Chama cha Mapinduzi na Makamo Mwenyekiti mstaafu wa Zanzibar Dk . Ali Muhammed Shein wakati wa Uzinduzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi zilizofanyika katika viwanja vya Mnazi mmoja Zanzibar Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Ikulu ndugu Saleh Juma Mussa Vitabu vya Sera ya Nishati ya Zanzibar ya 2025 pamoja na Mpango Mkuu wa Umeme wa Zanzibar wa 2025–2040, katika hafla iliyofanyika Hoteli ya Golden Tulip, Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja leo tarehe 11 Septemba 2025.
President
H.E. Dr. Hussein Ali Mwinyi
President of Zanzibar and Chairman of Revolutionary Council
Talk to the President
News and Events
Mgombea wa kiti cha Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi, ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiendesha Bajaji kuashiria kuwaung
16 Sep 2025
by Ikulu Staff
Mgombea wa kiti cha Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi, ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akimsikiliza Mjasiriamali wanaoende
16 Sep 2025
by Ikulu Staff
Dkt. Mwinyi amesema ajira kwa Vijana ni kipaumbele cha CCM
16 Sep 2025
by Ikulu Staff
Dkt. Hussein Mwinyi amesema Serikali ijayo itakuwa na kasi Mpya ya Maendeleo
14 Sep 2025
by Ikulu Staff
More News and Events
Videos
Facebook
Publications
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI KATIKA UFUNGUZI WA JENGO LA HUDUMA ZA MATIBABU YA DHARURA NA MAABARA KWENYE KITUO CHA AFYA MAKUNDUCHI
17 Jan 2024
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI, KATIKA KUADHIMISHA MIAKA 60 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
11 Jan 2024
RISALA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK HUSSEIN ALI MWINYI YA KUUAGA MWAKA 2023 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA WA 2024
31 Dec 2023
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI KATIKA HAFLA YA KILELE CHA SHEREHE ZA MWEZI WA SHUKURANI NA FURAHA KWA WALIPA KODI KATIKA UKUMBI WA HO
30 Dec 2023
English
Swahili