Rais Dkt. Mwinyi ameshiriki Dua ya kumuombea Sheikh Abuubakar Al-Abassy, na kutoa pole kwa Familia ya Waziri Nadir Al-Wardi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na waumini wa dini ya Kiislamu katika dua maalum ya kumuombea marehemu Sheikh Abuubakar bin Said…

Read More

Dkt Hussein Ali Mwinyi ameyakaribisha Makampuni na Wawekezaji wa Uturuki kuwekeza Nchini hususan katika Maeneo ya Biashara, Nishati na Miundombinu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi ameyakaribisha Makampuni na Wawekezaji wa Uturuki kuwekeza Nchini hususan katika Maeneo ya Biashara ,Nishati na Miundombinu.Rais…

Read More

Dkt. Mwinyi Atangaza ongezeko la Mshahara kima cha Chini ni Sh. 500,000

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza ongezeko la kima cha chini cha mshahara kutoka shilingi 300,000 hadi shilingi 500,000 kwa mwezi.…

Read More

Dkt. Mwinyi amepokea Ripoti ya CAG Zanzibar ya mwaka 2024 - 2025.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar (CAG) ya mwaka 2024–2025. Ripoti…

Read More