Media

Rais Dkt. Mwinyi: SMZ itaendelea kushirikiana na UN Women kuwawezesha Wanawake Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kushirikiana na UN Women katika kukuza usawa wa kijinsia,…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi ametoa Salamu za pole kufuatia Kifo cha Amir wa zamani wa Qatar, amesaini Kitabu cha Maombolezo Dar Es Salaam.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametuma salamu za pole kwa Amir wa Qatar, Serikali na wananchi wa Qatar kufuatia kifo cha Amir wa zamani wa…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi amewaalika Wawekezaji wa India kuwekeza Zanzibar na kusisitiza kuimarisha Ushirikiano wa Maendeleo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema uhusiano wa kihistoria kati ya Tanzania na India umeendelea kuimarika na kuchochea ukuaji wa biashara,…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi amesema India ni Mshirika muhimu wa Maendeleo ya Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema uhusiano wa kihistoria baina ya Tanzania na India umeendelea kuimarika kupitia ushirikiano wa kisiasa,…

Read More