Dkt.Mwinyi ametoa wito wa kuendeleza moyo wa kusaidiana baada ya Ramadhan

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewanasihi waumini wa dini ya Kiislamu na jamii kwa ujumla kuendeleza utaratibu mzuri wa kuwasaidia na kuwahurumia…

Read More

Dkt.Mwinyi ametoa Mkono wa Eid kwa wananchi waliofika Ikulu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na viongozi wa dini na masheikh waliofika Ikulu leo, tarehe 21 Machi 2026, mara baada ya Sala…

Read More

Dkt.Mwinyi amesema Uongozi na udhamini bora vitabadilisha michezo Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa Serikali imewekeza fedha nyingi katika kuimarisha miundombinu ya viwanja vya michezo na akademia…

Read More

Drk.Mwinyi amesema Watanzania wataendelea kumuenzi hayati Magufuli.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Watanzania wataendelea kumkumbuka na kumuenzi Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwa mchango wake…

Read More