Dk.Shein afungua barabara ya Jendele-Cheju- Unguja Ukuu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameleza kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inafanya juhudi katika kuhakikisha inatumia wataalamu wake wazalendo…

Read More

Mapinduzi matukufu ya Januari 12,1964 ndiyo yaliyoleta ukombozi hapa Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Mapinduzi matukufu ya Januari 12,1964 ndiyo yaliyoleta ukombozi hapa Zanzibar na yeyote aliyekuwa hayataki…

Read More

Dk.Shein: Sekta ya habari ni kichocheo kikubwa cha maisha ya Mwanaadamu.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa sekta ya habari ni kichocheo kikubwa cha maisha ya mwanaadamu hivyo lazima habari ziandikwe kwa usahihi,…

Read More

Dk.Shein ameagana na Gavana wa Benki ya Tanzania (BOT) anayemaliza muda wake

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameagana na Gavana wa Benki ya Tanzania (BOT) anayemaliza muda wake Profesa Benno Ndulu ambaye ameeleza furaha yake…

Read More

Serikali imejidhatiti kuzifikisha huduma za umeme katika maeneo yote wanayoishi wananchi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, amesema kuwa Serikali imejidhatiti kuzifikisha huduma za umeme katika maeneo yote wanayoishi wananchi kwa kutambua…

Read More

Zanzibar haitakuwa na tatizo la uhaba wa dawa kuanzia mwezi Julai mwaka 2019,

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuanzia mwezi Julai mwaka 2019, Zanzibar haitakuwa tena na tatizo la uhaba wa dawa kwa magonjwa yote yanayowakabilia…

Read More

Malengo ya Mapinduzi matukufu ya Januari 12,1964 ni kufanya hali za maisha ya Wazanzibari kuwa bora.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, amesema kuwa miongoni mwa malengo ya Mapinduzi matukufu ya Januari 12, 1964 ni kufanya hali za maisha ya Wazanzibari…

Read More

‘Zanzibar Sand Heroes” kualikwa chakula cha mchana na kupewa zawadi na Dk.Shein

MCHANA wa leo ulikuwa ni zamu ya Timu ya Taifa ya Zanzibar ya soka la Ufukweni ‘Zanzibar Sand Heroes” kualikwa chakula cha mchana pamoja na kupewa zawadi ya kuanzia ya TZS milioni moja kwa…

Read More