Dkt, Hussein Ali Mwinyi ameihakikishia Jumuiya ya Mawakili ya Afrika Mashariki Ushirikiano wa kina katika kuimarisha Utawala wa Sheria na Maingiliano ya Ukanda wa Nnchi za Afrika Mashariki

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi ameihakikishia Jumuiya ya Mawakili ya Afrika Mashariki Ushirikiano wa kina katika kuimarisha Utawala wa Sheria na…

Read More

Dk. Mwinyi ameishukuru Serikali ya India kwa kuendeleza ushirikiano na misaada yake kwa Zanzibar katika sekta mbalimbali za maendeleo, kijamii na kiuchumi.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru India kwa kuendeleza ushirikiano na misaada yake kwa Zanzibar katika sekta mbalimbali za maendeleo,…

Read More

Serikali inakusudia kutoa Kibali cha Ajira Mpya katika Mwaka Mpya wa Fedha katika sekta ya Afya na Kada nyengine ili kukabiliana na Tatizo la Uhaba wa Wauguzi hapa Nchini.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inakusudia kutoa Kibali cha Ajira Mpya katika Mwaka Mpya wa Fedha katika sekta ya Afya na Kada nyengine…

Read More

Serikali itachukua hatua kuhakikisha watu waliolipwa fidia zisizostahiki katika maeneo yaliyopitishwa miradi ya maendeleo wanazirejesha fedha hizo Serikalini.

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itachukua hatua kuhakikisha watu waliolipwa fidia zisizostahiki…

Read More

Dkt. Mwinyi amesema SMZ kuongeza kasi ya Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo.

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaongeza kasi ya utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo…

Read More