Dkt Hussein Ali Mwinyi ameyakaribisha Makampuni na Wawekezaji wa Uturuki kuwekeza Nchini hususan katika Maeneo ya Biashara, Nishati na Miundombinu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi ameyakaribisha Makampuni na Wawekezaji wa Uturuki kuwekeza Nchini hususan katika Maeneo ya Biashara ,Nishati na Miundombinu.Rais…

Read More

Dkt. Mwinyi Atangaza ongezeko la Mshahara kima cha Chini ni Sh. 500,000

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza ongezeko la kima cha chini cha mshahara kutoka shilingi 300,000 hadi shilingi 500,000 kwa mwezi.…

Read More

Dkt. Mwinyi amepokea Ripoti ya CAG Zanzibar ya mwaka 2024 - 2025.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar (CAG) ya mwaka 2024–2025. Ripoti…

Read More

Rais Dkt.Mwinyi amesema Zanzibar itaendelea kushirikiana na Ireland.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar itaendelea kuimarisha ushirikiano wa muda mrefu na Ireland, hususan katika sekta za uwekezaji,…

Read More

Rais Dkt.Mwinyi amekabidhi Kombe la Muungano 2026 kwa timu ya Simba Sport Club ya Dar es Salaam

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewaongoza maelfu ya mashabiki wa soka kushuhudia mchezo wa fainali wa Ligi ya Muungano kati ya Simba na…

Read More