Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru Serikali ya Sweden kwa misaada yake ya maendeleo kwa Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru Serikali ya Sweden kwa misaada yake ya maendeleo kwa Zanzibar, pamoja na kueleza umuhimu wa kuimarisha…

Read More

Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam, (DITF) yamekuwa jukwaa muhimu la kubadilishana uzoefu, kujifunza teknolojia mpya.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam, (DITF) maarufu kama Sabasaba, yamekuwa jukwaa…

Read More

Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema dhamira ya viongozi kufikia maridhiano katika ngazi ya kitaifa ni kuwaunganisha wananchi, kuimarisha umoja na kuwawezesha kushirikiana katika kuleta maendeleo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema dhamira ya viongozi kufikia maridhiano katika ngazi ya kitaifa ni kuwaunganisha wananchi, kuimarisha…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi ameshiriki katika Maziko ya Sheikh Said Othman Al Kadiry.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na viongozi pamoja na wananchi mbalimbali katika maziko ya Sheikh Said Othman Al Kadiry, aliyefariki…

Read More