Alhaj Dkt. Mwinyi ameendelea kuwahimiza waumini wa dini ya Kiislamu wenye uwezo kuwasaidia watu wasio na uwezo, hususan katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameendelea kuwahimiza waumini wa dini ya Kiislamu wenye uwezo kuwasaidia watu wasio na uwezo, hususan katika…

Read More

Rais Dkt.Mwinyi ameshiriki maziko ya Mama mzazi wa RC.Cassian Nyimbo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na viongozi, wanafamilia na wananchi mbalimbali katika maziko ya Marehemu Theodosia Sylvester Mapunda…

Read More

Rais Dkt.Mwinyi amesema huruma na uadilifu viwe kipaumbele katika mwenzi mtukufu wa Ramadhani.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewasisitiza waumini wa Dini ya Kiislamu na wananchi kwa ujumla kuhurumiana na kuwasaidia wasio na uwezo,…

Read More

Rais Dk. Mwinyi ameushukuru Mfuko wa AGA KHAN kwa Ushirikiano wake na Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Mwakilishi wa Kidiplomasia wa Mfuko wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN) Kanda ya Afrika Mashariki,…

Read More

Rais Mwinyi amesema Muungano uendelee kuwa chachu ya ukuwaji wa Uchumi.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa ushirikiano uliopo kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Wizara ya Fedha ya Jamhuri ya…

Read More