Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akisalimiana na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akisalimiana na Wakuu
wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Zanzibar,Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Abeid Amani Karume akiondoka Zanzibar kuelekea Nchini Msumbiji
kumuwakilisha Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu
Hassan, katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za SADC unaofanyika Jijini Maputo
Msumbiji.