Media

Dkt. winyi ameihimiza Benk ya KCB kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi kuwawezesha Vijana.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumzia changamoto zinazowakabili vijana, ameisisitiza benki ya KCB Tanzania kupitia programu ya kurudisha…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi ameipongeza Hospital ya Benjamini Mkapa kwa mageuzi ya huduma za Kibingwa.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameipongeza Hospitali ya Benjamin Mkapa iliyopo Dodoma kwa mageuzi na mafanikio makubwa katika utoaji wa huduma…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi amesema mashindano ya Quraan yameiweka Tanzania kwenye ramani ya Kimataifa.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Mashindano Makubwa ya Kimataifa ya Quraan Tukufu kwa mabara yote duniani yameendelea kuwa chachu…

Read More

Dkt.Mwinyi amewaalika Wawekezaji wa Ufaransa kuwekeza Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameyakari bisha makampuni na wawekezaji kutoka Jamhuri ya Ufaransa kuja kuwekeza Zanzibar, hususan katika…

Read More