State House Blog

Rais wa Zanzibar Dk..ussein Ali Mwinyi amefungua Jengo la Maradhi ya akili.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akifuatana na Waziri wa Afya,Ustawi wa Jamii, Wazee,Jinsia na Watoto Mhe.Nassor Ahmed Mazrui (wa pili kushoto) na Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa(wa pili kulia) pamoja Viongozi wengine mara baada ya kutembelea vyumba mbali mbali katika jengo la maradhi ya Akili lililojengwa kwa ufadhili wa Bw.Trond Mohn kupitia Hospitali ya Chuo Kikuu cha Haukeland,Norway kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar mara baada ya kulifungua leo Kidongo Chekundu Wilaya ya Mjini Magharibi.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Mtaalam wa Maabara Nd. Mkubwa Ally (kushoto) fuatana na Waziri wa Afya,Ustawi wa Jamii, Wazee,Jinsia na Watoto Mhe.Nassor Ahmed Mazrui (wa pili kushoto) wakati alipotembelea jengo la maradhi ya Akili lililojengwa kwa ufadhili wa Bw.Trond Mohn kupitia Hospitali ya Chuo Kikuu cha Haukeland,Norway kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar mara baada ya kulifungua Kidongo Chekundu Wilaya ya Mjini Magharibi.
  • Rais wa Zanzibar na MBLM Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa pili kushoto) akifungua pazia kuashiria Ufunguzi wa jengo la maradhi ya Akili Kidongo Chekundu Wilaya ya Mjini Magharibi lililojengwa kwa ufadhili wa Bw.Trond Mohn kupitia Hospitali ya Chuo Kikuu cha Haukeland,Norway kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akikata utepe kuashiria Ufunguzi wa jengo la maradhi ya Akili lililojengwa kwa ufadhili wa Bw.Trond Mohn (kulia) akiwa na mkewe kupitia Hospitali ya Chuo Kikuu cha Haukeland,Norway kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar liliopo Kidongo Chekundu Wilaya ya Mjini Magharibi (katikati) Waziri wa Afya,Ustawi wa Jamii, Wazee,Jinsia na Watoto Mhe. Nassor Ahmed Mazrui.

Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akimkaribisha Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania Mhe.Nabil Hajlaoui alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambulisha leo akiwa na Mke wa Balozi Amna Hajlaoui.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi(kulia) akizungumza na Mgeni wake Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania Mhe.Nabil Hajlaoui wakati wa mazungumzo yao alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambulisha.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimsikiliza Mgeni wake Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania Mhe.Nabil Hajlaoui wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika Ikulu jijini Zanzibar alipofika kujitambulisha.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiwa katika picha na Mgeni wake Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania Mhe.Nabil Hajlaoui mara baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Ikulu jijini Zanzibar alipofika kujitambulisha.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi(kulia) akiagana na Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania Mhe.Nabil Hajlaoui mara baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Ikulu jijini Zanzibar alipofika kujitambulisha.

Rais Wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amerejea nchini Tanzania leo baada ya kumalizika kwa ufunguzi wa Mkutano wa Maonesho ya Biashara

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na mwenyeji wake Kiongozi wa juu wa Serikali ya Afrika Kusini Mhe.Mashego Dlamini, akikagua gwaride maalum aliloandaliwa wakati akiondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa King Shaka Jijini Darban Afrika Kusini leo 16-11-2021, akirejea Nchini Tanzania baada ya kumalizika kwa mkutano wa Ufunguzi wa Maonesho ya Biashara kwa Nchi za Afrika, uliofanyika katika ukumbi wa ICC Darban
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana Balozi wa Tanzania Nchini Afrika Kusini Meja Jenerali (Mst) Gaudance Milanzi na (kushoto kwake) Kiongozi wa Juu wa Serikali ya Afrika Kusini Mhe. Mashego Dlamini na ( kulia kwake) Mkurugenzi wa Idara ya Diplomasia ya Uchumi Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Edwin Lutageruka, wakati akiondoa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa King Shaka Jijini Darban Afrika Kusini akirejea Nchini Tanzani.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na mwenyeji wake Kiongozi wa juu wa Serikali ya Afrika Kusini Mhe.Mashego Dlamini, akikagua gwaride maalum aliloandaliwa wakati akiondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa King Shaka Jijini Darban Afrika Kusini leo 16-11-2021, akirejea Nchini Tanzania baada ya kumalizika kwa mkutano wa Ufunguzi wa Maonesho ya Biashara kwa Nchi za Afrika, uliofanyika katika ukumbi wa ICC Darban
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana na kuagana na Balozi wa Tanzania Nchini Afrika Kusini Mhe. Meja Jenerali (Mst) Gaudance Milanzi na Kiongozi wa Juu wa Serikali ya Afrika Kusini Mhe. Mashego Dlamini,alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa King Shaka Darban Jijini Afrika Kusini baada ya kumalizika kwa mkutano wa Ufunguzi wa Maonesho ya Biashara kwa Nchi za Afrika uliofanyika katika ukumbi wa ICC Darban

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Wawekezaji Jijini Darban

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na Kiongozi Mkuu wa Kampuni ya El Sewedy kutoka Nchini Misri. Mhandisi.Ahmed El-Sewedy na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar.Mhe.Omar Said Shaban na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Tanzania Mhe. Exaud Kigahe, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Hotel ya “The 0yster Box “ Darban Nchini Afrika Kusini, baada ya ufunguzi wa Maonesho ya Biashara kwa wafanyabiashara wa Nchi za Afrika uliofanyika katika Ukumbi wa ICC Jijini Darban Nchini Afrika Kusini.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Wawekezaji kutoka Nchini Misri ukiongozwa na Kiongozi Mkuu ya Kampuni ya Elsewedy.Mhandisi Ahmed El Sewedy na (kulia kwa Rais) na(kushoto kwa Rais) Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar.Mhe Omar Said Shaban,mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Hoteli ya “The Oyster Box” Jijini Darban Afrika Kusini, baada ya kumalizika kwa hafla ya ufunguzi wa mkutano wa Maonesho ya Wafanyabiashara wa Nchi za Afrika.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Wawekezaji kutoka Nchini Misri ukiongozwa na Kiongozi Mkuu ya Kampuni ya Elsewedy.Mhandisi Ahmed El Sewedy na (kulia kwa Rais) na (kushoto kwa Rais)Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar.Mhe Omar Said Shaban,mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Hoteli ya “The Oyster Box” Jijini Darban Afrika Kusini, baada ya kumalizika kwa hafla ya ufunguzi wa mkutano wa Maonesho ya Wafanyabiashara wa Nchi za Afrika.

Rais wa Zanzibar Mhe:Dk .Hussein Ali Mwinyi amehutubia mkutano wa ufunguzi wa maonyesho ya wafanyabiashara wa Afrika.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kubadilishana mawazo na Rais wa Afrika Kusini Mhe Cyril Ramaphosa alipowasili katika Jengo la Mikutano la la Kimataifa la ICC Arena Jijini Darban Afrika Kusini,mkutano huo umefunguliwa.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika mkutano wa ufunguzi wa Maonesho ya Wafanyabiashara wa Nchi za Afrika, akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, ulifanyika katika ukumbi wa ICC Arena Jijini Darbab Afrika Kusini leo 15-11-2021
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe.Omar Said Shaban, wakati wa ufunguzi wa mkutano wa maonesho ya Wafanyabiashara wa Nchi za Afrika uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa ICC Arena Jijini Darban Afrika Kusini.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziMhe.Dk.Hu ssein Ali Mwinyi akihutubia katika mkutano wa ufunguzi wa Maonesho ya Wafanyabiashara wa Nchi za Afrika, akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, ulifanyika katika ukumbi wa ICC Arena Jijini Darbab Afrika Kusini.
  • MKURUGENZI Idara ya Diplomasia ya Uchumi Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Edwin Lutageruka akifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia katika mkutano ufunguzi wa Maonesho ya Wafanyabiashara wa Nchi za Afrika,akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan,uliofanyika Katika ukumbi wa mikutano wa ICC Arena Jijini Darban Afrika Kusini.
  • WASHIRIKI wa Mkutano wa Ufunguzi wa Maonesho ya Biashara kwa Nchi za Afrika, wakipiga makofi wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa ICC Arena Jijini Darban Afrika
  • WAZIRI wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe.Omar Said Shaban na (kushoto kwake) Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Tanzania Mhe.Exaud Kigahe wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia katika mkutano wa Ufunguzi wa Maonesho ya Biashara kwa Nchi za Afrika uliofanyika katika ukumbi wa ICC Arena Jijini Darban Afrika Kusini, akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifuatilia hutuba ya Ufunguzi wa Maonesho ya Biashara kwa Nchi za Afrika, wakati Rais wa Afrika Kusini Mhe Cyril Ramaphosa akihutubia mkutano huo wa ufunguzi (hayupo pichani)uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa ICC Arena Jijini Darban Afrika Kusini.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifurahia jambo wakati wa maongezi yake na Rais wa Afrika Kusini Mhe Cyril Ramaphosa, wakiwa nje ya ukumbi wa mkutano kabla ya kuaza kwa mkutano wa Ufunguzi wa Maonesho ya Biashara kwa Nchi za Arika uliofanyika katika ukumbi wa ICCArena Jijini Darban, akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan. Uliofanyika
  • WASHIRIKI wa Mkutano wa Ufunguzi wa Maonesho ya Biashara kwa Nchi za Afrika, wakipiga makofi wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa ICC Arena Jijini Darban Afrika Kusini.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Rais wa Afrika Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa (kushoto kwa Rais) na (kulia kwa Rais) Rais Mstaaf wa Nigeria Mhe.Olusegun Obasanjo, alipowasili katika jengo la Mikutano la Kimataifa la ICC Arena Jijini Darban Afrika Kusini, kuhudhuria ufunguzi wa Mkutano wa Maonesho ya Biashara kwa Nchi za Afrika,akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Rais wa Afrika Kusini Mhe Cyril Ramaphosa alipowasili katika ukumbi wa ICC Arena Jijini Darban kuhudhuria Mkutano wa Ufunguzi wa Maonesho ya Biashara kwa Nchi za Afrika, hafla jiyo imefanyika leo 15-11-2021 Jijini Darban Afrika Kusini
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akitoa hutuba yake katika hafla ya kupongezwa kwake kutimiza mwaka mmoja wa Awamu ya Nane na iliyotayarishwa na Wizara ya Habari. Vijana Utamaduni na Michezo iliyofanyika ukumbi wa Sea Cliff Hotel Mangapwani Mkoa wa Kasakazini Unguja.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika mkutano wa ufunguzi wa Maonesho ya Wafanyabiashara wa Nchi za Afrika, akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, ulifanyika katika ukumbi wa ICC Arena Jijini Darbab Afrika Kusini.