Alhaj Dkt.Hussein Mwinyi,amejumuika na wanafamilia, Viongozi wa Serikali katika dua maalum ya kumuombea Rais wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na wanafamilia, viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na wananchi mbalimbali katika…

Read More

Dkt.Mwinyi amesema umoja wa Wananchi ni nguzo ya Amani na utulivu wa Taifa.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesisitiza umuhimu wa kuendelea kulinda na kudumisha amani, umoja na mshikamano nchini, akihimiza wananchi…

Read More

Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema Watanzania wana Wajibu muhimu wa kuhakikisha Muungano wa Tanzania Amani, Utulivu na Umoja wa kitaifa vinalindwa kuimarishwa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema Watanzania wana Wajibu muhimu wa kuhakikisha Muungano wa Tanzania Amani, Utulivu na Umoja wa kitaifa vinalindwa…

Read More