Media

Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi ameahidi kuendeleza ushirikiano mwema kwa wananchi wa kijiji cha Bweleo na kufuata nyayo za Marehemu Mzee Ali Hassan Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi ameahidi kuendeleza ushirikiano mwema kwa wananchi wa kijiji cha Bweleo na kufuata nyayo za Marehemu Mzee Ali…

Read More

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza umuhimu wa kutunza amani kwa maendeleo na ustawi bora wa watu na Taifa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza umuhimu wa kutunza amani kwa maendeleo na ustawi bora wa watu na Taifa.Amesema amani na kuwaunganisha…

Read More

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeeleza azma yake ya kutaka kusambaza umeme vijiji vyote vya Unguja na Pemba na kukuza maendeleo maeneo hayo.

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeeleza azma yake ya kutaka kusambaza umeme vijiji vyote vya Unguja na Pemba na kukuza maendeleo maeneo hayo.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,…

Read More

Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi ameikaribisha Ufaransa kuja Zanzibar kuangalia fursa za uwekezaji kwenye sekta za Utalii, Uvuvi na ufugaji wa vifaranga vya samaki, Bandari, Mafuta

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi ameikaribisha Ufaransa kuja Zanzibar kuangalia fursa za uwekezaji kwenye sekta za Utalii, Uvuvi na ufugaji wa…

Read More