Media

Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na wawekezaji na wamiliki wa makampuni matatu ambayo yameonesha nia ya kuwekeza Zanzibar,

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na wawekezaji na wamiliki wa makampuni matatu ambayo yameonesha nia ya kuwekeza Zanzibar, yakijumuisha…

Read More

Rais Mwinyi amesema SMZ itachukua hatua kali kwa Viongozi wasiowasilisha Fomu za Maadili kwa wakati.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itachukua hatua kali za kisheria dhidi ya viongozi na watumishi wa umma watakaoshindwa kujaza…

Read More

Dkt, Hussein Ali Mwinyi amevisisitiza Vyuo Vikuu hapa Nchini kuongeza kasi ya Kufanya Tafiti nyingi zaidi zitakazosaidia kutatua Changamoto zinazoikabili Jamii.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amevisisitiza Vyuo Vikuu hapa Nchini kuongeza kasi ya Kufanya Tafiti nyingi zaidi zitakazosaidia kutatua Changamoto…

Read More

Rais Mwinyi amesema hakuna mbadala wa Amani.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa hakuna mbadala wa amani na amewahimiza Waumini wa Dini ya Kiislamu kuendelea kuilinda na kuikuza…

Read More