Media

Al hajj Dk.Hussein Mwinyi, amezitaka taasisi za ZAWA,ZECO na Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi kufanyakazi kwa karibu na wakandarasi wanaojenga barabara ili kukabiliana na tatizo la uhabifu.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezitaka taasisi za ZAWA, ZECO na Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi kufanyakazi kwa karibu na wakandarasi…

Read More

MKE wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Mama Mariam Mwinyi ameinasihi jamii kuendeleza mema yote ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani hata baada ya kumalizika kwa ibada za mfungo huo

MKE wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Mama Mariam Mwinyi ameinasihi jamii kuendeleza mema yote ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani hata baada ya kumalizika kwa ibada za mfungo huo.Mama Mariam aliyasema hayo,…

Read More