Media

Mama Mariam Mwinyi kushiriki Tamasha la Pili la Fasihi na Kazi za Sanaa za Afrika Sharjah.

Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF), Mhe. Maryam H. Mwinyi, ameondoka nchini leo tarehe 13 Januari 2026, kuelekea Umoja wa Falme…

Read More

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imefanikisha Ujenzi wa Viwanja vya Michezo kwa kila Wilaya za Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepata mafanikio makubwa katika kufanikisha ujenzi wa viwanja vya…

Read More

DKT. mwinyi ametunuku Nishani za Mapinduzi kwa Viongozi na Wananchi wenye sifa maalum.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametunuku Nishani ya Mapinduzi na Nishani ya Utumishi Uliotukuka kwa viongozi na wananchi mbalimbali wenye sifa…

Read More

Miundombinu ya Elimu Zanzibar sasa yalingana na Mahitaji ya Karne ya 21

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar imepiga hatua kubwa katika kuimarisha mazingira ya kujifunzia kwa kujenga skuli za kisasa zenye…

Read More

Zanzibar inahitaji Wawekezaji wanaowanufaisha Wananchi.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inahitaji wawekezaji watakaowekeza katika miradi itakayowanufaisha wananchi…

Read More

Ndoto ya Zanzibar ni kujitosheleza kwa uzalishaji wa kuku imetimia

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar sasa imefanikiwa kujitosheleza katika uzalishaji wa kuku, hatua itakayopunguza utegemezi…

Read More