Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwimyi amelifungua jengo jipya l a Tawi la CCM Sebleni.
18 Sep 2021
238
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe. Dk.Hussein Ali
Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi alipowasili katika viwanja vya Tawi la CCM Sebleni, kwa ajili ya kulifungua jengo jipya la
Tawi la CCM.
RAIS wa Zanzibar na MBLM ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi, akikata utepe kulifungua Jengo Jipya la Tawi la CCM Sebleni Jimbo la Kwahani na (kushoto kwa Rais) Mbunge wa Jimbo la Kwani Mhe Ahmada Yahya Abdulwakil
RAIS wa Zanzibar na MBLM ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimtusha ndoo ya maji Mwananchi wa Sebleni baada ya kukizindua
Kisima kipya cha Maji Safi na Salama.
MUONEKANO wa jengo jipya la Tawi la CCM Sebleni Jimbo la Kwahani lililojengwa na Mbunge na Mwakilishi wa Jimbo hilo na kufunguliwa leo 18-9-2021 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae
pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa .Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia
ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akitembelea jengo la Tawi la CCM Sebleni baada ya kulifungua rasmin
leo 18-9-2021, akipota maelezo kutoka kwa Katibu wa CCM Jimbo la Kwahani
Ndg.Ramadhan Juma (kulia kwa Rais).
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi na Wananchi wa Jimbo la Kwahani Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akiwahutubia wakati wa hafla ya ufunguzi wa
jengo jipya la Tawi la CCM Sebleni.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akimkabidhi Seti ya TV Kiongozi wa Maskani ya Mohammed Ali Bi.Subira
Omar, wakati wa hafla ya ufunguzi wa jengo jipya la Tawi la CCM Sebleni Jimbo la Kwahani Zanzibar, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Tawi hilo Sebleni.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi. akiwahutubia Wananchi wa Jimbo la Kwahani Zanzibar,wakati wa
hafla ya ufunguzi wa jengo jipya la Tawi la CCM Sebleni na Kisiwa cha Maji
Safi na Salama Sebleni