Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Mhe Philip Mangula ameongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa jijini Dodoma.
30 Mar 2021
433
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk. Hussein Ali
Mwinyi akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Abdalla Juma
Sadala,alipowasili katika viwanja vya ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma,
kuhudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya CCM iliofanyika leo 30-3-2021
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Bara Mhe Philiph Japhet Mangula akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya
CCM Taifa kilichofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma 30-3-2021, (kulia kwake) Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi, akisoma kabrasha kabla ya kuaza kwa Kikao cha Kamati Kuu ya CCM
kilichofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma na (kushoto kwake )
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe. Samia Suluhu Hassan, wakiwa katika ukumbi wa mkutano wa Jakaya Kikwete Dodoma
WAJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakisoma makabrasha ya Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kabla ya kuaza kilichofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Mhe. Philip Japhet Mangula, katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma leo 30-3-2021
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Bara MhePhilip h Japhet Mangula akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya
CCM Taifa kilichofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma 30-3-2021, (kulia kwake) Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar
Mhe.Dkt.Ali Mohamed Shein wakiwa nje ya ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma,
baada ya kumalizika kwa Kikao cha Kamati Kuu ya CCM, kilichofanyika Jijini Dodoma
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia
ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akizungumza na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdaulla,
wakibadilishana mawazo wakiwa nje ya ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma baada ya kumalizika kwa Kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichofanyika 30-3-2021 Dodoma.