State House Blog

RAIS wa Zanzibar na MBLM Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizindua mfumo wa upokeaji wa taarifa sahihi za Udhalilishaji,wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Uzalilishaji

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizindua Mfumo wa upokeaji katika Kongamano la Harakati za Kutokomeza Vitendo vya Udhalilishaji Zanzibar.