Rais Dkt. Mwinyi amesema SMZ kuendelea kuimarisha malezi, makuzi, maendeleo na Ulinzi wa Watoto Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kuchukua hatua madhubuti za kuimarisha malezi, makuzi, maendeleo, ulinzi na ustawi…

Read More

Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemwapisha Ndg. Mansura Mosi Kassim kuwa Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemwapisha Ndg. Mansura Mosi Kassim kuwa Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali…

Read More

Dk.Hussein Mwinyi amesema Matumizi ya Tehama katika Mfumo wa Utendaji wa Mahakama ni Eneo muhimu zaidi linalopaswa kupewa Kipaumbele ili kuharakisha Upatikanaji wa Haki na kuongeza Ufanisi.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe ,Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema Matumizi ya Tehama katika Mfumo wa Utendaji wa Mahakama ni Eneo muhimu zaidi linalopaswa kupewa Kipaumbele…

Read More

Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kuimarisha huduma za msaada wa kisheria ili kuhakikisha wananchi wanapata haki kwa wakati

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kuimarisha huduma za msaada wa kisheria ili kuhakikisha wananchi wanapata haki…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi akutana na Mkurugenzi Mtendaji wa UNEP

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEP), Bi. Inger Andersen, pamoja…

Read More