Media

Rais Dkt. Mwinyi ameitaka OACPS kugeuza Maazimio kuwa Programu zinazowanufaisha Wananchi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishauri Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS) kuhakikisha maazimio na matamko yanayopitishwa…

Read More

Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameutaka Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kukamilisha kwa haraka ujenzi wa vituo vya kisasa vya mabasi vitakavyotumika katika Mradi wa Mabasi ya Umeme

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameutaka Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kukamilisha kwa haraka ujenzi wa vituo vya kisasa vya mabasi…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi: SMZ itaendelea kushirikiana na UN Women kuwawezesha Wanawake Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kushirikiana na UN Women katika kukuza usawa wa kijinsia,…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi ametoa Salamu za pole kufuatia Kifo cha Amir wa zamani wa Qatar, amesaini Kitabu cha Maombolezo Dar Es Salaam.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametuma salamu za pole kwa Amir wa Qatar, Serikali na wananchi wa Qatar kufuatia kifo cha Amir wa zamani wa…

Read More