News and Events

Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Waumini wa dini ya Kiislamu katika ibada ya sala ya Ijumaa Msikiti wa Maungani Wilaya ya Magharibi B

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Waumini wa dini ya Kiislamu katika ibada ya sala ya Ijumaa Msikiti wa Maungani Wilaya ya Magharibi…

Read More

Rais Mwinyi ameipongeza Benki ya Stanbic kwa nia ya kutaka kufungua Tawi Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amepongeza uamuzi wa Benki ya Stanbinc Tanzania wa kuwa na Tawi Zanzibar kwani kutaongeza idadi ya Benki na kurahisisha…

Read More

Serikali kukabiliana na maradhi yasiyoambukiza.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Hussein Ali Mwinyi amesema maradhi yasioambukiza ni tatizo linalokuwa na linalohitaji ushirikiano wa taasisi za ndani ya nchi na kimataifa…

Read More

SMZ na SMT, zimeandaa mpango wa kuongeza vituo vya uchunguzi na matibabu ya saratani kwa kutumia teknolojia ya nyuklia wenye thamani ya Euro milioni 59

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali za SMZ na SMT, zimeandaa mpango wa kuongeza vituo vya uchunguzi na matibabu ya saratani kwa kutumia teknolojia…

Read More

UVCCM Shanghai wamempongeza Rais Mwinyi kwa Mafanikio

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM kutoka Shina…

Read More

Rais Mwinyi amesema China ni Mshirika Muhimu kwa Uchumi Wa Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kwa kipindi cha miaka mingi, China imekuwa mshirika muhimu katika ukuaji wa uchumi Zanzibar kupitia…

Read More